Si nasikia puff puff pass. Hiyo ni herb ya ku meditate
Playstation
this is today
Kwani huyu boy alikuwa na nguo moja kama vile Johnny Bravo?
[ATTACH=full]92288[/ATTACH]
We we…hold up.Leo ni puff puff pass Tuesday. So …
Bangi iwe guru first plus kuna vitu worse wao huchapa pia kama ma blue pills( bugiz)…sijui cocaine na rooster joints.
PS hawa husmoke shit iko down…hakuna way a good quality weed is real rolled into a shit looking jay like that.There was no luv no bud there
Watu kama hawa wali loose hope maishani kitambo sana
That line reminds me of Chiwawa-Tunaendelea (Klepto Diss)
It is actually from that song.that diss track had some serious punchlines
Kuna video niliona youtube ya a reformed gangster alikuananasema wanaendaga kujifunza uko ngong forest
Link
@admin achana na jirani sasa
…hizo sio fangi ni fegi za Rooster
kumbe hawa ma dame wa kufua nguo pia ndio wana act kama initial surveillance? hiyo story maze…