Bondo
Laare
Kuja Kondele mblo
maybe sababu sijawahi ishi huko hata wiki. a few days na najitoa. hizo siku kidogo hua najibaba so that skews my views
anaweza jaribu kama yeye ni bachelor. shida kubwa ni its a relatively expe place to live
Nyairofi
Kapsabet, Kisumu, Kericho, Nakuru, kitale
you do not need any documentations per se to live and work in Kampala , hakuna mtu yeyote hufuatilia hiyo maneno
Nyeri town
reason being?
Kawangware
It’s clean, excellent ambience, amenities, low cost of living…sijui niseme nini ingine…i just like the vibe.
The fresh produce from the markets are full of flavour. Nairobi food tastes bland
Eldoret sikuizi ina traffic jam kama nairobi… parking pia shida. Hufai kucompare na Nakuru hata kidogo boss
Nakuru kuna collection mzuri sana ya Kungurus. All the way from Shiny eyes, dim eyes to wa akina @Eng’iti na wa akina @dark massai
Opoda Farm [SIZE=1]as[/SIZE] [SIZE=1]Taramdaram would say[/SIZE]
Hatutaki watu nakuru. Ndio nakuru ni mbaya chafu imejaa business community na ni mbali sana. Kaa huko uliko
Enda kaKUMA
Hata Rongai has all those
AdisAbuda!