Kwani imekuuma? Nyonya ndhom polepole ulaze Korodani. Hii ni UCL; until next month, bado tupo
Wacha kusumbua wazito wakicheki mechi, sienzz
Hehehe…
Hata Werder huwa haichezi hivi wakikutana na Bayern
FYI am behind you guys today…FOR REAL but left back hakuna robben is bein given space reminds me of rafael
[MEDIA=twitter]831945920069636096[/MEDIA]
Toka ile siku uliongea mbaya kuhusu Juve, nilikwambia umelaani hiyo Arsenal yako. Swara mkubwa wewe, endelea kungoja maembe chini ya mnazi. FORZA JUVE!!! FORZA LA VECCHIA SIGNORA!!! FORZA BIANCONERI!!!
Get in
Sanchez moja; hio inaitwa away goal. Laana tunaachia Juve
Sasa tukae radar
Kama haupo nasi, nenda kalale
Kazi kwisha[ATTACH=full]83776[/ATTACH]
Kama tungekuwa na msee mmoja tu pale kwa wing ama mid ako na work rate kaa ya Sanchez, hawa tungefinya ama iishe draw, lakini Sanchez anajimaliza solo
Wewe ni mshawi
Watu wa Thursday night football mnasumbua
Huyo anasikiza ball kwa vernacular radio station
Watu wa thursday football wakalale!
Hahaha=“123tokambio, post: 842091, member: 152”]Sanchez moja; hio inaitwa away goal. Laana tunaachia Juve
[/QUOTE]
Hahaha! Endelea kungoja maembe chini ya mnazi
Next week niko nawe na hako ka-Juve kako
Excellent first half in both matches. Watching at the local “kamua mfuko” :).
[ATTACH=full]83777[/ATTACH]