Man, Arsenali natembezwa kama bike ya Gio.
Tutaona huyu jamaa wenyu vile atacheza
Hahahaha ati āwhateverā Uniform ya Liverpool iko poa?:D:D:D
Kwani nyoka ya Arsenal imefanywa niniā¦
maneeeeee hahaaa
Liverpool inauwa nyoka
Mane the main man, umeona hiyo?
Construct a sentence using the word nyoka and wenger.
Watu wa Arsenal tayarisheni āwenger outā banners
Chelsea walikuwa na āUniformā poa leo?:D:D:D I think ni Uniform ya Arsenal inawaharibia hii mechiā¦
Liverpool,ynwa,great game
Bado second half inacomeā¦
Either we draw or tutoke 2 - 1
Poor team selection by dinosaur wenker.
Arsenali tuseme wanamaliza hii season wakiwa ata nje ya europa. Zile injuries watapata wakifika zile shamba/pitch za serbiaā¦:D:D
Ozil mauzo continues. Same weakness from last weekā¦
123 to kwa mbio a kit is also uniform ama unataka nikuwekee what uncle Google says.
Huyu chali ni kaa anataka kutoka. There are even rumours of Mustafi wanting to leave.
Halafu hapo mbele mbona akaanza na Welbeck? Halafu anaacha Lacazette na OG 12 bench.
Nimekubali, but ebu nichekie Tottemhams wamevaa Uniform gani, juu wamekaziwa na Burnley sanaā¦
Ni mshande tu anataka, na kukaa nyuma ya Wenger, coz wenger entertains his lazinessā¦
Pace jamaa, something that Laca na OG12 lack in such encounters, but i expect at least one of them to get inā¦