injinia leo tunakula nyoka
mwambie akuom tumuactie
FUNDA WEWE! AKI TUKISHIKWA DRAW UHAME KAYOLE
[ATTACH=full]79559[/ATTACH]
Cech tulia leo unameza clean sheet .
Ramsey ni ngombe
Manze si maboy za Man u zinakazaa mcoondu tuwekelewe
Haka kateam kamejua Arsenal huanza game slow 1st half so kanatafuta bao ya kwanza then kakaukeā¦
hakuna watu wajinga kama panya za Man u
leo wenger ameambia vijana wa settle down first 15 minutes ndio tuanze kuwa raid
Ozil leo Ana-delay sana
Hii swara @uwesmake inafanya tusifungeā¦Uwes tunakuomba usiwai tena weka thread ya Arsenali
~Courtesy of KTALK Arsenal teamā¢
Kumbe hata wewe unawatch. Anakuwanga mzembe sana
Sasa na hakuna minions wa admin mwenye ni Gooner, tungekuwa tunamshow aban hio ngombe ya Kiminini saa ile kuna game ya wazito
Mimi huwatch (ubaba mob).
He he he!
Woooiiii draw ntakuwa inje Kama jay baby boy
What TF is Ramsey trying? Umbwa yy. Ati scorpion kick
nani amekazaa rasaa hivi
but bao inanukia
Manze hio ukuta ya Burnley ninoma kuliko wall ya trump pale Mexico