Anazingua sana aisee
Habari zimfikie jiwe
Aisee. Ushakuwa senior villager ? Hahaha
Jiwe hasikii
Anafanya kama yuko nyumbani kwake
Kashajimilikisha nchi bana
Atasikia tu leo nimetupia link kwenye majukwaa ya ccm na siasa utaona mafuriko huku
Sidhani kama tutakuwa huku kwa muda, haya yanaweza kuwa makao yetu ya pili hata baada ya JF kurudi hewani…
Mi nimepatikana,tuko pamoja members,siunajua tena tulivyokuwa addicted na hii kitu…
Kinachotokea sasa ni kama ile series ya THE CROSSING.
Yaan wahamiaji tunakuja kwa mafungu na majina tunabadili