Sasa nkuulizie wapi, sina pa kukupata!!!
Hebu ukuje huku kwa chumba cha wageni
Cc: mshana Jr
Aya nakuja
Yeah ! Ni kweli umeumbwa kwa ajili yetu, lakini siyo lazima kufanya hivyo, unakuta binti ana tatoo kwenye t*ko lakini atatufuta tu namna ya kuwaonesha wanaume wengine hata kama tayari ana mpenzi wake.
Unanitekenya…
wadada wa mujini,hapo hata kufua chupi zake hataki kisa kaeka kucha mpya
Sawa babu ake
Khaa umeibuikia huku! Missed u anyway… Mdogo mdogo huku na vibinti vya Kikuyu… Angalia tusikuache huku hahahaaa
Hahahaaa
Ji
Jifunze kuniita shemeji. Hujui dadaangu huyo
Sikukuona kwenye mahari…
Nilikuwa safarini Msata loh