Inaitwa nini hiyo place?
Four zero I think
Opposite Bela inaitwa zero 4. Iko fine sana
Club 0 four haiko opposite bela vista idiots kwani you don’t know your bearings. Zero 4 iko opposite post bank, tembeeni Kenya and stop listening to other people’s stories
Wewe the only place you know in Mombasa ni mwembe tayari na likoni ferry where you procure puthi for fefte bob
Hehe…you are right…huyo jamaa anabishana ni story aliskia…hio ndo local yetu watu wa ganjoni…its a nice place
Opposite postbank? Kwani casab ilifufuka?
casa b bado iko…located along mnazi mmoja road opposite gapco petrol station
Sijazoea kuklab kisiwani lakini this time round lazima nitakuja niangalie hiyo place ilivyo
:D:D:D:D
inaitwa ZERO 4 na haiko opp bella iko opp ivory moi avenue
Kuna Moja Moto hapo Mtwapa …
[ATTACH=full]178928[/ATTACH]
Kinasema San siro
Kilabu hiki kimechapa sana
danka. iko mtwapa
Ni Total sasa