Betin League

Naangalia the big teams kwa epl ikicheza na team ndogo.

ELDER hii kitu huenda aje ebu niangushie tricks brsa

Weka home team Over 0.5 then away team over 0.5 kama 4 ivi then weka 700 returns naeza fika 2k.

huwa naeka gg ama ov25 depending na teams.Team kubwa zikiwa away nakufa na gg

[ATTACH=full]127203[/ATTACH]

Mdogo mdogo tu.Ov2.5 na gg.

so hainaga tricks

na hi story ya sijui week yenye hiyo game inacheza

iyo iko…weeek 1 ni ngumu sana kupata wk 11’17’29na 31.izo weeks ata niweke aje huwa napoteza.When idle i make around 4500 a day

so ni week gani poa

anyweek but izo nimequote ni mbaya kwangu.Others work well with me.Weka Thao kwa account nipee details nikutengenezee ata kama ni 1500 profit within 20minutes.

wacha ni sake kaa float ndugu nione but bro nigetaka unishow how to fish

io kitu ni tricky but mostly mm hueka Chelsea,liverpool,man,Arsenal zikiwa away naweka gg.Zikiwa home naeka ov 2.5.

waah hii game ni tricky sana

very very tricky

Gambling kama huielewi achana nayo, utasoteshwa na muhindi ushangae. Gambling sio biz…

Exactly leo nimemkamua viceroy mbili za wikendi.Sunday ajax ilininyima 145k jana madrid imeninyima 16k.Kwanza ajax ilichoma 86th minute

1 Like

Muindi apana chesa

:D:D
Kuna mtu atalala njaa hapa na hana fare ya kuenda job kesho

1 Like

haha brasa hiyo siwes

1 Like

Noma sana tried today na over 1.5 iko poa