Miss natafuta papuchi yako unaizubaisha sana.
Sumaku ni ndogo aka Tigolicious aka mtaro
Miss natafuta wa huku utawaweza kweli?
Nakuona mrembo wanguuu
Nipo Demiss bora tumepata pa kutolea nyongo
Hahaha kudanga imeenda kimataifa…uwakilishe taifa vyema
Ahahaaa unataka niwe kunguru?
papuchi za Kenya ziko vizuri lakini?
Kwani kuto kutahiriwa tatizo nini.?? haiingii au?
Wa Tz wanaku misiyuzi kama umeenda kichwakichwa, manake wa Tz siku hizi hawahongi CHIPSI tena ukienda ovyo unahongwa hata UGALI.
Usifanye
Huku ugenini ni balaaaa
Tayar mefanya
wapi Mshana?
naomba uwe mkalimani wangu huku ugenini
Naona villager tujifunze pamoja kule kwenye majukwaa yao aisee sio kiswahili kile
kiswahili cha ajabu afu wenyeji sio wakarimu ha ha
inabidi uwe mwenyeji wangu huku ugenini au na wewe bado hujazoea zoea mitaa ya huku?
Duuh naona wakimbizi tumekutana kwenye nchi ya wajaluo:D:D:D
Naona ushakuwa Senior Villager:D:D:D
Mods wataanza na wewe…
Nimeona mahali kuna mod mmoja humu alikua anaulizia number ya Shilole…
Cc: @Mahondaw