I know, shida ni ya kwamba service provider ni safaricom…
.NASWAD…
Heeeeeee ma!!! Nani hakujui kijana… Very soon utasema ata wewe uretha gitambaya umire kumira
Kwani umecatch aje manager wa pubic region
Nani… I actually feel cheeky… Leo mambo imewaendea mrama kabisa
Tukiwa na nani mi naingia kucheza cricket sa hii
[ATTACH=full]134559[/ATTACH]
keti pale …[ATTACH=full]134567[/ATTACH]
:D:D:D:D:D
Hapana. We, mi sitaki story zako election ata kidogo
Mi si wa papa, but kuna vile nilisikia hio story ya kura nahisi kutapika…
Usitapike…we piga, hata kama ni ya Baba… kitakachozaliwa tutaongisia
Wallahi! Siwezi ata kama napigia Murang’a. Should I mistake or forget and vote, I’ll commit suicide
How? How? How can I vote twice in a year?