Mmmh
Wanataka kumgeuzia kesi kuwa yeyey ndio alitaka kuwaua kumbe alitekwa na alikuwa anajilinda
Pumbavu unakuja kutafuta nini huku? Si mnashangilia JIWE kufungia mitandao, kaa TZ mshangilie!
Chuma hula chuma
Chuma hula chuma
Acha wafu wazikane
Zakaria ana bahati sana,
Ilikuwa ndo imetoka hiyo
Zakaria kacheza kama Mbappe,watu wasiojulikana wamefail tena kula kichwa
achana na huyo choko wa Lumumba, huwa hawajui wanachoteteaga hata siku moja
Hii sasa imekuwa wazi kuwa wasio julikana sasa wamejulikana wazi ni kina nani na kwamba serikali ya ccm iko nyuma yao na inawalinda.
Ila Zakaria ni mwanaume Wa shoka zaidi ya wale Wa Barrick tulioambiwa ni wanaume
zakaria sio kichaa apige watu na risasi,wao walitaka wamteke wakashindwa ndio akawabutua
Na kweli sitajibizana naye tena.
Mamae Wafu wanaicheza ngoma walio ichagua vizuri tu.
wasiojulikana wamejulikana Leo hao n ma agent wa jiwe
Nimemsikiliza mkuu wa mkoa wa Mara akizungumzia tukio hilo ITV, ni wazi kwamba serikali inataka kuficha kitu fulani…
Mama Tz why???
Mshamba kweli wewe; sijui bavicha wa Wapi usiyejua kutukana??
Matusi ya 1950’s hayo yameshaexpire; tafuta mapya.
Acheni yamalizane…mafisiem.
Lissu alishayaambia yatawarudia.
Ngoja niendelee kutafuna popukoni wakati ovie ikiendelea.
Lazima walitaka kumpoteza huyu