Hata Tuchel ameamua jamaa akaoge na mapema, amekuwa Giroud leo…
1 Like
4-0 hehehe
Hehhehe. Na akafunga.
2 Likes
Timu za Spain zitoke. Wamezoea watu sana.
2 Likes
Fuak Barcelona uefa can’t help them anymore
1 Like
hapa ni kukazaa hakuna away goal hizi panya zipate
Si ni vizuri wakojoe tu mapema wamalize juu watakojolewa tu anyway.