More zoo tea wa mbaka…
Vile umeandika hii story nimeisoma at the speed of light. Very engaging
Hekaya tamu sana green emojis
Hekaya motoooooo kama pasi ya makaa…Part 2 na 3 zikuje haraka sana kabla sijakasirika
Hekaya inaflow tamu sana. Malizia buana VC
Wadau long side ya barabara ni gani
Niaje teacher,
Poa sana dereva wa kilori. Nimekwamia Narok si utume rescue.
Wueeh.
Wee @Meria Mata kamilisha hekaya mzeiya.
Hapa kwa hii kijiji kuna watu wanabeba watu waana. Tutanukisha kitunguu ama kazi ni kukaa kwa mkeka na leso tukingojea episodes? Mungu anawaona.
Then what??
:D:D:D shida ni we are also writing while working.