Wa D nimewainamishiaga. Hao ni wangori
Itabidi beshte yako apige weight kiasi ndio waache kumdharau. Hayo ni madharau outright:D:D:D
Kwa dumpsite utakuwa ukitafuta nini? That is probably the most dangerous place in Nairobi.
dumpsite kuna maliā¦meeting point ya blackmarket ā¦ kuko safe, hakuna makarao
Hao watu wana guns bana, huko siwes jaribu. Though boma imefanya watu kadhaa najua millionaires.
1 Like
yepā¦that could do.