Hizo ni mabwoni(ngwashe) na ugali. Friday next week ndio ataskia njaa tena.
Like someone has said hapo yuu ⊠nlikulia kwa kitchen
Supper inabidi nkule kwa mpango bana
Ăka kahora mĂșkĂčrĂș.
Hehe ⊠nĂkĂĂ shef Rafael
Hio ugali ulitoa +254? Uarabuâs unga ni nyepesi.
Ni atia ndugu Gashui
Thought ulipata kazi ya kuchunga nguruwe Kenya
Seriously afande!
Hio sembe si kidogo.
ndi mwega kai utariaga nyeni?
Yea nlibeba hii kutoka home âŠ
[ATTACH=full]85686[/ATTACH]
Hii semolina(unga ya hapa) inakaa ni kama unga ya chapo, haiwesmek
Saingine bora tumbo imejaa
Low glycemic index mambo yote.
You donât cook ugali, you make ugali
hakunanga harufu tamu kama ya ugali imeungua kiasi
Tangu lini mwanaume mzima hana bibi kapika yungu tatu ?
ni juu ya afyaâŠyou can even throw in the mboga in the nyama mzima mzima bora ule mbogaâŠ
Hehe
Hehe ⊠hata hii unamezea mate
Hakunanga afocado kwa Abdul?
Kush unabebanga unga ukienda kwa Abdul?
Unga ya huko ni GMO. Niliwahi kujaribu kuunguza sembe ndio harufu ikwom but ilikataa.