Kwahakika hili limekua ni tatizo kubwa sana kwa mahusiano/ndoa za sasa mkuu
Ngoja aje kuandika mwenyewe hapa
bongo muvi wako Elli au hahahah
Ni janga la taifa hilo mkuu
Hahaha
Nini tena jamani
Ni mwema Sana mimi mwenyewe tu
cc @Smart9
Ma’am naucheza huu wimbo mchanganyiko wa kigiriama na kiswahili kwa ajili yako…you are so fine indeed
anajiita mwizi-bora hebu nione akuibe basi
Hahaha ataanzaje kuniiba
kwanza huyu wa nyumbani au??
Naonawa huku diaspora mana kigiriyama kiko kenya
mmmhh upo vizuri babe
Hahaha kigiriyama kisegeju kiduruma vyote huko pwani ya kenya lamu mombasa mombasa vanga
babe spare my mbavu basi nacheka kwa sauti as if nipo kijiweni
Itabidi nikupeleke vanga ukasikie vilw kiduruma wanaongea kama wadigo
wengi wanayokutana nayo huko hujifunzia huko