Mkuu hili ndo jibu.
Hakuna forum yyte ntakayojiunga nayo zaidi ya hii na jf mengine ni mitego
Mamae! Daaah
Mi niliwanunua wa Kigoma pale Kariakoo! Nimempiga stop wife kuwapika! Nasubiria bint yangu wa boarding arudi na rula
Kuna Mbunge mmoja alinifurahisha sana jana aliposema huyu Waziri ana Bidii ila Busara iko Makalioni
Wewe mkuu kula tu, size ndio hyo hyo au subiri waziri aje
Mamae… Hii namba tunayoisoma asaiv hatutaweza kuisahau kamweee…
2020 Loading…
khakhakhaaaaaaa… mtoa mada sijui amewaza nini. nashangaa eti Kuna sehemu hawaruhusiwi kuuza dagaa