Soon nakua elder villager
Jirani ukitaka kuquote bonyeza reply halafu nenda chini kwenye mwiso wa uzi utaona reply imekaa kwenye sehemu ya kutype, bonyeza tena pale ndio utaona inaleta sehemu ya kuandika
Usikubali kuwa mchezewa bora kuchezea
Kaza buti mkuu, posho ya kijiji ipande:D:D:D:D
Hahahahaha
Ni kuchezeana bwana
:p:p:p:p:p:p:p:p
Familia yako umewaacha wapi jamanii
Wanakuja bana jirani usijali
Ila kuchezeana rahaa utamu acha tuchezewe tu yaani mpaka mwisho
Aiseeeee…
sawa jirani
Mmuite na T basi, bila kumsahau Babu mchepuko wako
Babu Asprin yupo huku mbona
Mbona simuoni?
PM siijui huku, wamenifukuzia mzigua wangu
Ipo my dear itafute uje tupige story
Tunakuona mzeiya
Hahahaaaaa
haha mwisho wa siku mnazifungaga…subiri wasiojulikana wavamie huku ukimbizini:D