debate flop

Debate ya binadamu moja inaitwaje?

Haka kamtu ni ka mono,form 1, NV Chieth

Sasa imagine DP akidebate na huyu mtu hana confidence, he would have him supper, he doesn’t have a mark of a leader.
I would love to see him on the podium pale ugwaru akihutubia Uma, will bet my right ball that if he is heckled he will burst into to tears

I heard those wananchi meetings were banned

Hapa tuko pamoja hadi settings

kuna mtu alipost hapa alikuta kikao (au kisimamo:)) 5 am leo…

In 2007, the guy wanted to run on an ODM ticket somewhere in Kisii/Kuria. That should tell you all you want to know…

they should have cancelled this thing

it was kilgoris

kuna running mate anasema pornographic profits

i guess that ka-fellow on the podium would have sued them…

Basi they are doing it illegally. Usiwajoin though au ujipate ndani navenye hadi WhatsApp admins wanatafutwa.

They should have just folded without much fuss and not embarrass themselves with this mediocre thing the are pushing down viewers throats and then try and shift their failure to JP and Naswa

lakini lootcol chunga usipee gay brigade mixed signals

Sio monologue

Kijana anajaribu sana,nakwambia ukipewa chance ya kusoma “BIOPSY” mbele ya umma hata hutamaliza part one kabla huja stummer kutoka kongowea mpaka marigiti

kuna kisimamo huwa hapo archives kila asubuhi na hata nkipita 6 am huwa kiko on na lazima kuwe na gari iko branded odm ama kidero. huwa nashangaa ama ni legal

I can only see one candidate on stage debating himself!

Ahhh I hadn’t seen this thread nimederail ya fisi ANYWAY. I am only seeing one and wacha tuseme amejikaza sana. Very impressive.

:D:D:D:D:eek: