Kwani Wewe hutaki Kuwa incognito? :eek::eek::eek:…ama wewe ni rudeboy Don’t give a fuck huh! Mimi nataka tu 24 Hours By Teeflii…tafasari!
Unichapie Red lights by Tiesto
Unichapie Red lights by Tiesto
Hio ni ile nilisikia inaitwa wambui na nambo wa kanambo?
nichezee Thika Ruiru ya Djungle
How many wanna bet dis nigga’s inbox was chaotic after this post? Everybody wanna be his friend now LOL
:rolleyes: you included
make sure umechezea manki ile wimbo ya ndizi
sweet banana ya nyambanee
I will do that kabisa
Really sorry man, iv not been really active here, bt il make a point of being active
6
6 am to 10 am, old school stuff kama new jack soul, rnb n hiphop. Pia kenyan oldschool. I think the moderator ameiweka fiti sasa
Hehe i will get the recording and post the link here
Yes mzee mzima niambie
Wat did you do to him
Preach brother
Good stuff hiyo iko kwa playlist
Watu wanapenda masalamu kama waluhya hapa.
Dj rudeboy ,pamba ameamuka anangoja salamu sangu sikiendea lola ,asande omwami.
By the way salimia uncle yangu ako huko Murang’a , ujumbe ni m-pesa bado iko na delay lakini ikirudi nita msort , usisahau hiyo bana, alafu pia EX wangu anaitwa njambi I dedicate sugar cane by Shaggy (najua sio oldskul) lakini cheza ama upigwe mstari