S
So pia we ni mluhya
S
So pia we ni mluhya
:D:D am shiny eye but whats wrong with luhyas?
ā¦@meria mata VS, all protocols observedā¦ huwa napita hapo Rongai workshop nikielekea kwa guka Visoi. I do agree with you that those trucks are well maintained. Lakini kidogo, Hiyo Barbara ya Salgaa kuelekea Rongaiā¦ Joā¦!!!
Watu wa salamu kila saa, statehouse ikuwe ni ugali ya wimbi na managu tu inapikwa everytime
ā¦Wacheeni hizo bratheā¦
BTW Sunday niliona rongai moja a little bit modern Nika kumbuka sijaona zile mzee for a while are they still there?
:D:D
Vile mtu hufanya is you buy a truck that is out of production. Parts nazo you have a factory load at good price kwa sababu manufacturer anafunga kazi. With skilled mechanic unabaki uko salama for 20 years.
On sato cars from Eldy were being diverted through that road at salgaa due to an accident ahead wueeh. Vumbi mob sana. Alafu after that Rongai workshop I saw a small place where only Ugandan registered cars are parked (VXs, Rangerovers and other small cars) kwani zinafichwa huko ama nini
Whatās the model of those old Rongai trucks? Unapata truck registration number ni KLD na imebeba kubeba. Must be one reliable model.
Si P.N.Mashru aliaga dunia, ama kuna jamaa yake with the same initials?
The business continues.
Kiuliso tu! Hizi ndio magari za kuenda huko Rongai diaspora?
yea those drivers with ugandan platesā¦
Swali Yangu haijajibiwa, whatās the meaning of M.A.N.
Yes darling you are right, kuja siku moja uskie vile suspension yake ya airbags iko chonjo
uncle hii ndio meaning Maschinenfabrik Augsburg NĆ¼rnbergā¦lakini ata pronaunsieshen shida kubwa sana
Hehehe, eti machinefabric augustburg whatever, gojea ni post new thread on this name.
Kwani Rongai Ni za a lady? Respect