Heheh
Acha wivu na tuzo za wenzako wewe.
Hapo Ktk SUMAKU unamaanisha?
Hivi Si ameperform lkn?
Hapana mkuu hajafanya hivyo, tulikuanae hapa hapa nchini
So zile story zilikuwa kick?
Ma-KIK na mauzushi ya vijana wetu mzee alafu wakiumwa waanze kuomba msaada michango ya kwenda India kutibiwa
Ngoja siku ya fainali ya kombe la dunia ifike ndiyo tuanze kumnanga
Mwakyembe alishamkabidhi bendera ya bongo
Hivi fainali tayari?
Fainali zimeshafunguliwa na zipo ongoing. Opening ndiyo kila kitu, hakunaga sherehe za kufunga mashindano hayo bali ufunguzi
Weka akiba ya maneno pia
Taarifa ilisema atatumbuiza kwenye ufunguzi wa fainali za kimbe la dunia, siyo ufungaji.
Sio World Cup, ni Wedikap.