warranty does not cover kasheshe za bibi…
Omwami kuliko kununua kitu kama hio ungenunua black mamba kama ishirini upeleke county,imagine kila boda ikikuletea soo tatu * 20 kwa siku hio ni ngiri sita * 30 ?unaona haungekuwa mtu wa shida hivi hivi,na hapo ndipo napendea wakikuyu ,calculator yao ilisahau minus hata pia plus hao hufikiria times pekee na nihayo tu kwa sasa.
[ATTACH=full]4463[/ATTACH]
21 " ndio hii natumia nugu!
Pamba aki nikama unaongeza chumvi kwa kidonda… Boda nilibuyia @vuja de sasa kazi ni kubeba nekesa wakienda kuchuna miwa
Hii ndio ubaya wa kuleta momo wengi bash
anunue blacky ishirini ama a kamue momo ishirini
Itakuwa mpango ya kando;)
Pole uncle nyama na ukijaribu kuuliza anisuma atleast u get the price ramgr
Ati pamba unasema umapenda wakikuyu
. . na venye naonanga nakuja kuolewa na wanjala huko kwenu…mmh
Pole uncle nyama na ukijaribu kuuliza anisuma atleast u get the price ramgr
Ati pamba unasema umapenda wakikuyu
. . na venye naonanga nakuja kuolewa na wanjala huko kwenu…mmh
Kam nikuoe purr… Utakula kuku daily mpaka breakfast
Kwanza umetumia lugha mbaya ya kuita dakitari ati kuja hapa ,mimi nikiwa yeye siwezi kukusaidia,in between bwana electronics,bibi akivunja t.v warranty itasimamia,ni swali tu?
waNJALA ni mtu wa njaa
Wanjala(male) alizaliwa wakati wa njaa hivi hivi.
kwa hivyo ana njaa ya aina nyingi. ma dry spell hivi hivi pia
Hio bado iko na spares kwa market@electronics
Hapo sasa tunaomba dakitari akuje kutibu vichwa za talkers,uwazimu naona ukikita mizizi huu musimu wa rasha rasha za mvua.
Tuheshimiane tafadhali
@pamba hizi ndio zile flat za kwanza za Mgongo . Old is Gold. Ona sasa hii expensive scrape nimebaki nayo. I have to pay through the nose kuirepair
These niggas are not telling you the truth, hiyo tv yako ni marehemu .Move on and Nunua tv ingine na uwache pombe ! !