elders

Hapo sawa @culture.
Hata ungemchuna na pliers.

1 Like

that’s fatherhood. reaction on point.

1 Like

Hapa mimi nikupitia tu… Nikinusanusa.

1 Like

[SIZE=2]for as little as only Krc 500, we can do that in box. other T&C apply:)[/SIZE]

2 Likes

kam inbox asap.KCr ziko

Ulijinyima heshima

1 Like

ok.acha nijinyime kama heshima ni kuseat back mtoto wangu akitusiwa.neeeeeeeeeeevr.naeza kula mtu na meno

1 Like

Nimetuma inbox…safisha is the title

2 Likes

Hungemtusi mbele ya mtoto ako ,the issue is how your child took the whole drama

3 Likes

hasira mtu wangu.hasira.

1 Like

leo ni friday.ulisema mtu akuje na 3k.nitaingia settings ?.

Baba unaonaaje?

2 Likes

inbox yangu iko open mbisha zikuom.

Good. Try not to be overprotective. Mtoto anaweza kuwa na self entitlement, which is not good. Kama ako na makosa, mkosoe hivyo hivyo.

3 Likes

Mtoto wako ni fahari yako. Hata awe na maumbile ya aina gani au tabia za kipekee. Ulifanya kama kila mzazi mwenye hadhi na uwajibikaji yuafaa kufanya. Kumkaripia yeyote yule asiye na nia njema ni sawa.Walakin, matusi ya namna ile huingia kwenye ubongo mchanga wa hawa bwana wadogo wetu na huenda wakayatumia kama karii.
Kongole @culture lakini mfanyie ushauri (counseling) mwanao asije akafadhaishwa na hicho kisa.

2 Likes

mi naye sipeani KCr kabla nipate KONYAGI, nisafishiwe macho kwanza, zikingaa nina double hiyo KCr + mbonasi

2 Likes

Can I meet your dad? :wink:

1 Like

Ningemsugua huyo dame ngoto moja moto sana kichwa yake ungekuwa bado ina vibrate hadi saa hizi!

1 Like

hapo mimi ni kuwekelea jinga kofi kesi baadaye

1 Like

nilikuwa nmesoma ulikuwa umebeba bro wako…punctuations muhimu

1 Like