Ferk Bunyala Road

Hiyo barabara ni mbaya sana too many reckless drivers overtaking like @uwesmake rushing to his herpes infested momos. Siku hizi I use outer ring pekee.

I know that road all too well. Go there at the wrong time utaitana.

[ATTACH=full]142177[/ATTACH]

Eastern by pass ata ikishikana mi huona ikisonga coz only mats allowed to overlap juu wao hutoa za macho. Wengine tunabaki kufuata mkondo…slow but moving.

Huyu @Grundy akicheza nitamfanyia vile nilifanya Scumbag na VC hadi siku hizi wako chini ya maji.

Vipi bro, Hio kufungiwa ni noma, Kuna siku nimemeza tusker kama nne Machakos then mimi huyo nikapanda mat enroute NBO. Mahn pombe na kutravel especially via public ni balaa. Kufika mlolongo nilikuwa naskia kama bladder itaburst, nikasema wacha nivumilie nifike tao, kabla tufike nyayo tukapata heavy traffic, hiyo tukapita.Tukavuka hio round about ya nyayo jam tena. Hapo nikaona nitajikojolea, Nilishuka kwa mat nikasema mbaya mbaya, nikakojoa kwa hizo rails zimefence nyayo stadium, meen I felt a mini cum. Nilipea @pamba 200 za macho bana.

Likoni rd jioni ni balaa naonanga ikishikana madere hushuka wapige story.

Watu mimi huhurumia ni wa Lang’ata na Ngong roads. Huko kukosa jam huwa ni kama miracle.

Any road connecting to the 2 [SIZE=5]nyayo[/SIZE] roundabouts is a no go zone during peak hours (u spend at least 45 minutes to clear the 2 roundabouts) …“clever” matatus and motorists learnt this a loong time ago. That’s why u see Ronga, Sth. B., LA., Kite, Athi River, Sth. C, Mada matatus all over industrial area zikingia town thru city stadium, landhies rd.

Blame it on us, when the lights are in place , we disobey and jump lights . Now we have to deal with the traffic police .
The day Kenyans become civilized things will get easier otherwise vumilia tu.

Kuna kamadha flani niliskia maina Kageni akisema kalishuka hapo kaka kojolea iio area ya Nakumatt Mega. Yeye na skirt yake alisquat na kusongesha pantie na side, Fwaaaaaaaaaaa… She felt relieved

Noma sana brasa.

Time for bondo my friend. Hakuna jam huko. Resist Nrb