finishing the journey with jubilee

:D:D:D

Hapo sawa

10 by 10. Let’s be honest, for your personal economy this is good. Keep up. For the big 4, naah.

kujaribu tu

Hapo sawa wakameat…

Sikua nimenotice… wakameat io nyumba iko na miaka ngapi?
[ATTACH=full]260333[/ATTACH]

wewe unafikiria naweza enda hardware nikanunue wire? humorous cornice ,ceiling boards,mpaka rangi ni vitu za zamani, cornice zenyewe ni za mbao ya cider, imagine that!!!

Ata kama ni DIY jamaa ako chini kama slay queen.

Unachimba choo ukikua wapi Mungich?

Umejaribu bro, I’m proud of you.

Safi Wakanyama. Mungu abariki hiyo nyumba na kazi ya mikono yako

mathice ngoja ichapwe coat ya mbili

Leo nimeshinda kwenu if you know what i mean…

:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D:D

Ni zile wire za ile base ya pale Kawangware?

ehe, elezea huyu mason, Kwanza kunabase ingine hapo nyongara ukipanda na dagoretti high school wako na everything second hand, milango ,mbao, madirisha etc na bei mzuri

@Randy ,checki end results sasa[ATTACH=full]260544[/ATTACH]

Apo sawa .