Mwenye ako na namba ya Mr miller anipm
Nataka nijue we nan kule Tz hahahahhahahaha huku na kiswahili kinabadilika iko mambo ya kisii
Ikitokea mwezi ukaisha bila Jamii Forums ku-resolve issues zao na TCRA, nina uhakika hii forum ita-take over.
Na wakirudisha yetu, hii ya huku isiondolewe…mawe mazito tutakuwa tunayarushia huku.
mkuu. Mganga umemficha wap?
Hahahaaa yaani huwezi kuamini…
Mis Natafuta sijui ameshaingia mjengoni??
Washtueni wakuu wrote tujumuike pamoja… Wakina Lara 1
Finally tumefika
Ahsante sana
Mpaka kielewekeeeeeeee
aisee ilibidi tuje na mizigo yetu yote huku ili tufanye share na care …tubebe na mikeka yetu tya meridian sport pesa na GSB
Nipo
Huuuhu iko balaaa hii aseeee
Hahahahaaaaa!!! When the old meet the new! In CNN voice…