For only 5 minutes of fame

Ahhhh kwani ata yako iko na sulphur…kula stock uje tukauze ma scrap.pale Githurai

@Motokubwa mbona unapeaga jamaa ya Bendora chances za kuku attack

Wewe hujipendi khasia hii. Hizi vitu hazitafanya uhare mbaka gatema.

:D:D:D:D:D

ndio,hio ndio ofisi yangu

Wamanyoka wacha tu nicheke, naskia Dago hata ubwa zimehepa hazitaki Kula nyama, zinataka nyasi

:D:D:D:D:D:D

Chunga Sana vile unaongelelea dago. Musubcounty hebu mwambie kichinjio bado iko works

na bado musubcounty, Tuko ngangari

@Meria Mata Dago imekuwa na zombie cows

Hahahahaha … huwa napenda sana hii khasia ikiambiwa ukweli

Sijui shida gani ndio kubwa. Sufuria ama hiyo nyama.