Boss. Unatumia program gani?
Cheza chini mungiki
Kwani wewe ni ile mbwa hungojea kengele?
IBM Spss V21
sawa mungich
Ndio tunaanza
[ATTACH=full]72068[/ATTACH]
1GB detected,Anyway kwa raha zako mzae.
Mfupaspective!!!
Na kwani lazima uweke funguo za Toyota kwa meza?
We are almost in 2017 for ferks sake.
Driving is no longer such a big deal.
Alisema Bora ulevi, sio ulevi Bora.
#peasantmanenos
Best
enda ukunywe mnazi pole pole
Almost time boys…
Kunyueni mjienjoy…msifikishe ya kuleta madhara…
Shidwe sana. Funguo ni za Mistrubishi
Sio za Axela?
Weka hizo funguo zako za Mistrubishi kwa mfuko na uwache ushamba.
Wanawake hawaeselewa hii story ya fombe.
Nakunywa simainof, bamburi,
Pilsner baridi Nakuru. Siwezi maliza workshop ya wiki mzima na nikose kuonja fobe ya huku [ATTACH=full]72099[/ATTACH]
Hapa hapa bdipo nilipo… And guess what?..
ka whisky kwa nyumba…
[ATTACH=full]72109[/ATTACH]