Kanono we usoma gatheti?
cheers!!
Kwani watu wanono hawafai kusoma?
Zii ni venye uko majuu sa nashangaa mbona unajisumbua… Alafu kanono krisi inakaribia c unitumie ma dirham kadhaa :D:D
Hehe ni muhimu kujua mambo ya mucatha. Ma dirham zitakuom tu
1 Like