kwani huyu arinyoforewa bolingo …ama ni kususu kende.
Woi na venye wanakaa wasafi …
Hehehe… Ukimanage kukaza njumu isitoke huwezi dedi.
Uwizi ni ya corporate ama gava.hizo zingine chorea
Machos tu… Neurotic Huko zinakunywa maji and there’s nothing we can do about it… …
yule mtu ata invent njumu zinaeza grow kwa miguu zisitoke aneza make doh sana
Hiyo kandarasi @Gio afanye research. Organic, bionic shoes which grow as you grow and are fashion neutral.
Unavaa kwa ofisi, track na kwa shamba.
…Umeanza Friday dose naona.
huko kwako watu hawakubaliwi ku nap na unahesabu chai na mikate sitawezana, lakini kama production itafanyiwa kwa garage ya introfart mahali tunaeza meza wd40 tukifanya kazi am in
Engineer afanye R&D halafu ikifika produkshen nawakaribisha hapa Haiti. Kuna dispenser ya WD40.
:D:D:D:D:D
Siasa ndogo ndogo ziliisha, niko na shida ya kumatch voltage kwa electromagnetic induction coil na batteries uko na ujuzi wa hio? Kulala bado ni hapana
Ile teke mtu hujaribu kumpiga shaitan akimkaribisha ahera ndiyo hufanya kiatu kitoke hata kama kimefungwa na kamba ikazingushwa vifundoni.
hehehe I spend a lot of time reading to understand kile naambiwa
Kumbuka yule jamaa wangu Pele tulishikwa na yeye, alisema fiatu fiake hazitoki
Kifundo ni ile sehemu ya chini ya mguu kwa kiingereza ‘ankle’.
Ankles…