Pingu!. Alafu kulikuwa na ile ya mbwa flani. Ilikuwa inaitwa kitu kama ‘littlest Hobo’. Enzi hizo mombasani TV ilikuwa inafunguliwa saa kumi weekdays na saa situ wikendi.
1 Like
Nimependa ‘littlest Hobo’ sio ‘situ’.
1 Like
William tell And Derrick.
1 Like