Gunia Wiki Hii

Saitani:saitan:…si umpatie material…I have been here for kendu 2 years and he has drawn me enough times. Jitete wewe mwenyewe…nyenje eno.:smiley:

Ati cross breed ya binadamu na [SIZE=5]DEDE!!:smiley:
The last time nilisikia io jina nilikua primo lakini sisi tulikua tunaziita odede.[/SIZE]

Hiyo Dede iko hapo ni @Okwonkwo .
Mwisii muchinga saidi anaibanga mapera.
Very useless ata.

@introvert aka shiny bald head Chang’aa drinking welder.Chora hii pakashume inaitwa @KaRadar_ iko na tabia ya kuingilia watu wa kula chips sonford.Na pia uchore ile jamaa iko Germany yenye iko na vidole sijui ni tatu au mbili kwa mkono zinakaa spanners.
Torantino nilisema ni askari ya forest mkakataa.Hata nashuku @pamba ni jamaa ya G4S na @imei2012 ni watchman ya Kungu maitu.

@Phylgee kuja in person usitumane

Sio just mapera…ni mwisi sana. Zile vitu anataka kuniibia, words fail me. v calculating thief/goon.

Yaani @pseudonym hakutosheka ma msedes ya @Meria mai??Akaamua akule peremende aka @patco na fossil muzee @Abba??Swali ni,will the charms of Mutheu make Abba’s dipstick rise to the occasion?

sawa tu. Nitakuibia mtu very soon. :D:D:D

Weuh! It’s been long juu sijaelewa poa hii mchoro ya Jaruo Nyeuthi
@Abba nitakusema whatever you did…

Ngommerrr parare ya kike firigisi ya dede, heshimu mutheu na chief.

Wewe ni handka shifu tu!!Ulishindwa kupea mutheu mucakwe vizuri sasa ameomba lift kwa @amun akenda hadi huko Tesoland kwa hio muzee @Abba.

Sijui nani atasikia mwiba sana between kunguru 001 na bride ya @Abba. :smiley:
@Tarantinoh kumbe you have your sights on kunguru 001. I see you observing that one ki sniper
@Abba your bride ako na acne mbaya

:D:D The Viking and Kunguru 001 have me in stitches

:D:D:D:D…saitan!!
Uko na uchokozi kindly revert to your original handle ndio tudeal na wewe one on one.

Mi ata sioni hii thread.Niliblock hii jaruo kitaaaaaaambo.

Nimezeeka tayari.
Wacha nitengeneze kifikifi pole pole.

Mutheu suguliwa na mucakwe ya Abba pole pole kiu kiishe wacha kusumbua watu hapa.Ata hatukuoni unless umulikwe na floodlights ama mataa za msedes benz ya ex hubby.(Sio mimi nimesema hii).

@Abba ebu kuja na izo canned omena zako mechanic amekuanika vibaya saidi.

Wewe @Randy goat tulia.Sina handle ingine hapa.

:D:D:D:D kunguru 001 unaichora hadi na matiti, pervert!!