Sasa kwa nini Kande mnaita Githeri!?
Mshana Jr.
Mzizi mkavu
Jichawi
Kisumu inafanana na Mji gani wa Tanzania?
Sasa huyu ndiyo huku ukimbizini ndiye kawa @Cage clay
Sasa mbona kawa kimiya sana
Ongera umefika mkuuu. Wananchi wanaitaji huduma
Nafurahi sana kuwa na @Cage clay wewe ni mutu muhimu sana baadae tuende gikomba kuna kitu nataka hapo mara moja
kyupi na papuchi yanguuu hahahah
Itakua ushampata sasa
Ni Mshana mwenyewe kweli? Maana tushapokea kesi za watu kuja huku nakujiita majina ya watu, mfano kuna GENTAMYCIN na GENTAMYCINE. Nitaamini baada yakuona maandiko yako mkuu.
Weka ile Aviator ya Jf, tusije tukajieleza shida zetu kwa waganga feki.
Mkuu wa wachawi…@Mshana jr
Kaka ushighe kuogha…
Kumbe mtaalam upo, vizuri ila cjaona mada zako huku.
Naomba mniroge!
Are U? Not really. Mshana never put sun goggles
Tutapata samaki kiongozi? Sato
Ax
Acha vi2co
Its me… The real one
Tunasoma kwanza mazingira ya ughaibuni
Harika…