:D:D:D All those things can be explained apart from that part of falling avocados!
KamauLM
December 19, 2018, 10:45am
25
Amore:
… Kumbe ni jamaa wa tinga ndo alikuwa anapita. Realizing that nikatupa rungu yangu cz ingenizuia kukimbia at my best speed. Morning came na jamaa akakuja na kikosi, kuingia kuangalia tinga imekunjana kunjana as if ilikuwa inagongwa na nyundo. Akaeleza venye alikuwa anadoze akaskia tinga ikigongwagongwa, kuenda kuangalia akaona spanner zinafloat kwa hewa . Moja ikamuendea ikamiss ikachapa ukuta. As if hajachapwa na bumbuazi ya kutosha, tinga ikaanza kuwaka peke yake….mind you tinga ni ya diesel na you understand venye hizo machine huzungushwa ndo ziwake. That’s when he decided to take the coward’s way out. Akaeleza venye alikutana na creature ya kutisha kwa gate akitoka mbio. I was in no position to explain that the creature was me….hakingeeleweka. hivo ndo hiyo tinga ilitolewa kwa building.
Sasa hapa inaokena mlikosea mizimu ya mechanics, inahakikisha kisiagi yenu inaoperate bila mashida lakini baada hio yote mnasiaga unga gorogoro mia na hamupiki ugali ya mechanics