the following day ukiona ata malaya unatamani awe bibi
1 Like
Jamaa iyo story iko yuu tu sana kwanza hapo caretaker anarudi:D:D:D:D:D:D:D
1 Like
alafu gas inaisha:D:D:D
Hehe, sina mambo
Mimi nina phobia ya kulipuliwa na gas, niko na meko so na prefer kutumia kiberiti.
Nili-turn 25 na sina haraka na hizi liabilities,kwanza ni-accumulate tu-assests
1 Like
@snapdragon we have a certain watchman,by the time you manage to wake him up akufungulie utakua umeamsha flat yote
1 Like
same here i once lost a rela kwa incident ya gas leakage,so mambo na pipe za gas sitakangi, id rather buy 3mekos
The idea is, a wife ni a lifetime undertaking/liability …why hurry?
I noted the similarity.
Hii mambo ya kiberiti imenihappenia tena juzi. Wacha nitaanika hiyo hekaya hapa soon