Nipelekeni Jukwaa la JF
Ndio, hicho kitu tumejaribu kuwaomba sijui kama watatusikiliza.
Uzuri wameshatuwekea Moderator kwenye jukwaa hili letu, sasa inatakiwa tuwashinikize kupitia Mod wetu ili watengeneze App
Hapa ulipo ndio jukwaa la JF mkuu, uzi wako ushaletwa huku
Ooh okay
I hope they do, at least waiweke tapatalk
Ngoja tuwasubiri
Maisha ya ugenini bana, hapa hata sielewi elewi… Maana tulizowea kule kwetu full kujiachia…
Hapa pia ni kujiachia tu mkuu
Tutarudi hewani tu
… ni kweli!.. Hawa KT(KENYA TALK) hawana app kule App store?
… ha haaaa!.. Kuna mwenyeji wetu ana matusi huyo! @
Akitukana najifanya simuelewi:p:p
Wapi Jamii Photo?
Bado halijatengenezwa
Tunalisubiri kwa hamu tupunguze stress zetu. Lilaaniwe fashist la chatle.
Amezingiua sana aisee
Tuachane naye yanayotusibu kwetu ni makubwa kuliko hili la huyu nafikiri tuendeleze maoambano tokea ugenini.
Mwifwa kumbe umekimbilia huku mkuu kimya kimya?
msongo wa mawazo