Me
Messi Leo sio messi yule wa Barca kabisaaa…hahahahaha
Me
Messi Leo sio messi yule wa Barca kabisaaa…hahahahaha
Hahahaha messi huyu coppy yake
Vya App kijijini tena nyie wa mjini mje nazo basi. C zinafaa kwa mtindi au uji?
Dhaaaa Ku browser n kaz yan
Bac hakuna otherwise
Nmekuja bby wang missing you more
Sweetheart inna
Kabsa yan mm nachukia sana
Kutumia web maana huku n mahali
Unaingia na kichangia Sasan shida
Kutumia web ingekua n bongo5,milladayo
Kwenda kusoma habar hapo sawa
Mtindi na uji unashuka tu bla kutafuna
Shukran mkuu…za huku?!
Nimefika binamu…
Hujambo?
Sijambo binamu yangu jamani shikamoo nimefurahi mnoo kukuona
Nami pia…
Kweli hakuna mtu wa kujitolea atengeneza app?
Huku mbaya nachoshwa na web
Embu unisaidie app kama unayo
Mkimbiz mwenzang
Hamna app wa mm…tuvumilie tuu
Hapa ndo tunakumbuka ile song
Cjui aliimba nan “tuvumiliane”
:D:D