Duuuuu wachina noumaaa, yaaani wanatafuna dada zetu na kuwapachika ujauzito. Mwisho wa siku tunalea wapwa.
Namshauri akamtafute DAB
vitu vingi vya kichina ni fake
Nilisikia kuwa ubalozi wa China umekubali kumlea mtoto huku wakimtafuta hiyo njemba ya kichina iliyoingia mitini
Hatimeae amejua kuwa hajui anajua
Dunia ina mengi
Mwambie apambane na hali yake ila asije tikisa hali za wengine maana hakuwa na timing kuwa kibali chake kinaisha
Anyone who’s gone to China will tell you how hard it is to communicate or send money out. Asahau maneno ya Child support.
Sheria ya china hawaruhusiwi kuzaa nje ya nchi
ni kosa la kitaifa kama kuhujumu uchumi.
Mm nampa tu pole amshukuru tu mchina kwa kumuachia katoto ka kichina apambane alee mtoto wake
[COLOR=rgb(20, 20, 20)]mtoto anaitwa nani?
Hivi makonda alimsaidiaje huyo mdada ktk lile zoezi la singeli mazeli
Apambane tu na hali yake hakuna namna
Huyu kaingia King kwa mchina Kaaachiwa chata,sasa kuna wengine wanaingiaga king kwa wa bongo wenzao na wanaachwa solemba vile vile, wanabaki na hasira tu
hizi drama za Bashite sijui zitaisha lini
Xing jin yin-yang :D:D:D:D:D
Safi sana. Kukuta ndugu ugenini, inaleta faraja!