Vipi dada h umemuona?
Nimemuona huku katika nchi za watu na yeye kalazimishwa kuikimbia nchi yetu pendwa
Hahah!! Nilimleta pia nilimsisitiza akutonye ila hakukupata hewani
Mimi nimepata taarifa kupitia gazeti la Mwananchi la leo, wameandika JF ipo Kenya Talk, vinginevyo nilikua nishachanganyikiwa kwa kua nishakua teja wa jukwaa letu hili
Hahah!! Pamoja sana kiongozi acha tufurahie maisha
Hahahaaa, maisha ni popote tu mkuu
Hakika…
Tanzania kisiwa cha amani. aiseee inahitaji moyo wa chuma