Hajar
July 1, 2018, 9:21am
21
Hahahahaaa. Umeonaeee.
Ila kwa sisi wa Tz Mods wasingekuwa wakali jf isingekuwa sehemu salama kwani ingekuwa hakuna tofauti na vile vijiwe vya wavuta bhangi kwani lugha hizi ndio zingetamalaki. Hahahaaaa.
Tuwaachiage tu majirani zetu ndio wanayaweza haya.
Hajar:
Hahahahaaa. Umeonaeee.
Ila kwa sisi wa Tz Mods wasingekuwa wakali jf isingekuwa sehemu salama kwani ingekuwa hakuna tofauti na vile vijiwe vya wavuta bhangi kwani lugha hizi ndio zingetamalaki. Hahahaaaa.
Tuwaachiage tu majirani zetu ndio wanayaweza haya.
Ila pamoja na yote bado kua na uhuru ni muhimu sana Hajar, waturudishiage tu JF yetu bila kutuwekea vigezo na masharti amabvyo ukiviangalia ni kama vikwazo flna hivi
Hajar
July 1, 2018, 9:43am
23
Hahahaaa. Ndio Tz yetu hiyo Sesten.
Hajar:
Hahahaaa. Lol. Hiyo ni zaidi ya kuigiza aiseee.
Itakuwa anawadolishia wale wasiojua yanayoendelea nyuma ya pazia.
@Sesten Zakazaka nimeiga lile neno lako hapa sijui limekaa penyewe? Hahahaaaa.
Neno limekaa mahala pake Hajar, umekua mwanafunzi bora
Tutafika tu Hajar, mdogomdogo
Tunatangaza ili usione kuwa ni suprise, kwasababu kwa suprise huwa mnakataa sometime
Hajar
July 2, 2018, 7:12am
28
Hahahaaa. Hajar tena mzito kuelewa ila akishaelewaa Bhaaaaasss.
Hahahaaaaa.
[ATTACH=full]180725[/ATTACH]
Ni Tanzania tu ambapo mdada anajua kabisa tarehe ya kuvalishwa pete ya uchumba (engagement), anashona nguo, na anakwenda saluni, halafu mwanaume mchumbiaji anapokuja na shamrashamra zote siku ya tukio, eti akitoa pete kumvalisha mdada huyo anajifanya kushangaa sana (SURPRISED)! Kuna mmoja alizimia kabisa wakatI ni yeye ndiye aliyetafuta mpaka sonara!
TUNAISHI KWA KUIGIZA!..
[emoji16] [emoji16] [emoji16]