Wapi chief Mkwawa
Me nikajua n mmojawapo ya mods wa jf haya bwana
Yan n mm naona haya mads au na wenzangu mnaona?? Tushazoea jf ndio shida tuvumilieni mwanzo mgum tutazoea tu
tumia uc browser, hutaona ads
Ni mod wa huku Jf ndogo
Asante kwa taarifa umeamka lakini??? Jana nilikua napitia threads za wakenya huko jukwaa la sex and relationships nimecheka sana ni wanatukana live livw
Salama salimini, hofu kwako
:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p:p Wanachekesha sana aisee
acha tu kule nyumban kulikuwa na mpangilio mzur sana inabidi tuzoeee
noma sana kule kwetu ban inakuhusu
Wallah nimecheka naona ajabu
Yan mods atakuachaje lakini sikuwah kula ban jf niliwah pata warning
Eeh mdogo mdogo
Cheka bana unyoshe mbavu:p:p:p:p:p:p:p
@Miss natafuta kwenye uzi wake aliambia na mkenya utatupa sumaku… Miss natafuta hakuelewa ana maanisha nini akaanza kuniuliza
Ahahahahaha:D:D hii ni balaa
Verified User wengi kule JF wana fake id.
Mimi ndiye The Tweet wa JF ORIGINAL.
Ok, kwa hiyo ulikuwa na ID ya verified pia?
Sijajua walipo huenda bado hawajapata taarifa za kuja huku
:p:p:p:p:p:p:pnaona posho imeongezeka
Acha kufukua makaburi hahahahahaha
Ndio,ila ni kwaajili ya official issues tu.Si salama sana.