Hujawahi kukutana na mtu unamuelewa mwenza ukatamani akuanze?? Mi nshakutana nazo na sijawahi kushindwa kumshawishi mwanaume anitake na hamna aliechomoa kunitaka. Wala sijipayukishi wala kuomba namba ilaa namba ataomba mwenyewe tu
Halafu korosho zenyewe ungeziona, ungeweza kucheka na jinsi anavyozila kwa mbwenbwe
Unajua huyo manzi kuna muda hata kicheko kilinibana nikajizuia, mbwembwe nyingi anatafuna korosho kama mashine ya kukoboa
:D:D:D:Dmweza uyooo
Ni PM namba zake please
Una bahati nao
Naona nyota yako inaruhusu