KUNA WANAUME WA MKOA FULANI NIKIWATAJA MTASEMA NAWAONEA
Hiyo wanayosema ni fashion nimeiona sana dar,najiuliza wao hubeba nini humo?
Wanaume wanazidi kupoyea kwa kasi ya 4g kwakwel
Hata huwaonei nakusaidia “wa darrrr”
angalia wasikuanzishie vita
Hawanaga vita hao labda wanichambe tu
Basi hao ni Wanaume wa Dar
Hio style wameipata kutoka kwenye series ya Narcos…wanaenda na trendy…ni u_bwabwa dume zima kubeba kipimajoto …sio Dar tu hadi mikoa mingine wanabeba
eti kinainai. jina linachekesha na halijakaa sawa kwa mwanaume. Eti “wife kile kinainai changu umekiona wapi”
“Kipo hapo pembeni ya dressing table”. Ha haaaaa juzi nimepanda daladala na kijana mmoja kakibeba nikawa nashangaa kimoyomoyo. Ila kilikuwa kizuri kweli nikatamani kiwe changu
anajibu “nilikiweka hapo kwenye stand ya mikoba yetu mpenzi”
Ha ha ha, eti mikoba yetu.