Hodi Kenya......WANA JAMII FORUM NIMEFIKA SALAMA KENYA

Humu hakuna kitu kama uchochezi kwa hiyo uwe na amani…

Cc: @Mahondaw

0

Change your id to pink

Karibu Kenya

Njoo shamban mkuu huku ni kijijin ni mwendo wa kulima tu

Asante mkuu hakuna kulaza damu

Ebu pata nafasi upitie Kenyan Refugee Act hii ili usilete usumbufu kwenye nchi za watu.

ha ha ha mkuu sitasumbua kabisa

Umepata pa kuweka mizigo?

Jamani namuulizia mke Wangu sijamuona

Wakenya wapo juu hivi hata huku huru kuropoka nauliza tu