I have a guy who imports directly, ata deal na hizo in betweens. Mabroker na dealers huinflate prices na a few hundreds. He got my colleague a 2010 fielder last month na 1M flat na kwa dealership ni roughly 1.2 - 1.4 hapo.
Lakini ntashuka coast before easter week, heard kuna nice deals huko pia. If I get one, ntapanda nayo but nikikosa will import.
apan tusi probox sawa!
Honda all day. You don’t want rotary engine problems hehe
Kiuliso tu: wewe ni muuzaji wa magari?
you sure?
2010 fielder at 1M flat? Now that’s a steal!..that guy must really know his stuff. Yep coasto unaeza pata a good deal…do update us on how that one goes
Hapana…am just a motor enthusiast
Ok. I expect ‘wauzaji’ to be obsessed with resale value. As for you, if you aren’t one, just go out there and buy and enjoy the machine that best serves your needs.
Well said hii kijiji inaeza okolea wanunuzi na info ya kusaidia kuamua what machine to go for…JM Baraza should be here
Na ndugu zake passo, porte, ractis; Prombox ni ya wariah, Baite, polisi undercover, na mikora ya kafete
@alphagroup ndio hiyo grenade sasa! Watu wa Probationbox mko wapi msaidie huyu
shait!! riswaa
Prombox ndio inahakikishwa watu wamekula muguka hii nairobi. usiituthi priith
Between the two Axela I can only buy because of looks, the sportiness, hotherwise Civic
the engine too is great, from the reviews
Beba Honda Civic. Thank me now and later