kama sijasahau, ni wewe uliwahi kuanzisha uzi kuwaponda na kuwatolea maneno machafu watu wa Mara hasa wajita.
enzi mafuru anatumbuliwa. Hapa sijaelewa tuchukue lipi ili kuweka mfuatano wa mawazo yako mkuu (consistency ).
Binafsi siamini Ubora wa Mtu kulingana na Kanda. Ubora wa Mtu upimwe kwa uwezo wa kuleta matokeo yanayotarajiwa kulingana na nafasi husika bila kujali kanda,kabila,mkoa,dini,rangi.
Katika JF one of the hopeless and useless man is this so called gentamycine.
Kumbe mlishamfahamu, huwa linaandika kama vile linajiona lina kitu kumbe takataka…
GENTAMYCINE:
[FONT=courier new]Ndiyo maana nakupenda, nakuamini na nakukubali ’ Kunakotukuka ’ kabisa Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa John Pombe Joseph Magufuli hasa kwa kuujua umuhimu na uhodari wa Watu wa kutoka Mkoa wa Mara ( Musoma ) na ambao baadhi yao tokea ’ uwateue ’ hawajakuangusha na nakuahidi hawatakuangusha na kama bado unaona ipo haja ya kuwajaza sana sana katika maeneo au idara zako ’ Nyeti ’ za nchi hii Mimi mpiga Kura wako na ambaya nakuhakikishia nitaendelea kuwa mpiga Kura wako GENTAMYCINE nakuomba usisite kuwaamini kwani hakuna Watu ambao wataweza kukusaidia hayo maeneo kama wa kutoka katika huo Mkoa ’ uliobarikiwa ’ na wa ’ Mashujaa ’ na Wanamume wa Shoka wa Mara ( Musoma )[/FONT]
[FONT=courier new]Niwaombe tu akina IGP Simon Sirro na Waziri mpya wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola na wale wengineo katika ’ Idara ’ zingine ’ Nyeti ’ za nchi hii kuwa tafadhalini msituangushe wana Mara ( Musoma ) na kuweni Mabalozi wetu wazuri ili basi Mheshimiwa Rais akiwa anataka tu kuwateua ’ Wanamume ’ wa Kazi na Majukumu ’ mazito ’ wa kumsaidia asiwe anapata taabu au kazi kubwa Kuteua Watu kutoka Mkoani Mara ( Musoma )[/FONT]
[FONT=courier new]Ni ’ Mwendawazimu ’ na ’ Mpumbavu ’ tu ndiyo atashindwa kujua kama siyo kuuamini uwezo wa wana Mkoa wa Mara ( Musoma ) katika Utendaji uliotukuka ambao una historia kubwa sana katika nchi hii ya Tanzania. Na hakuna asiyejua kwamba bila wana Mkoa wa Mara kupambana basi leo hii Idi Amin Dada angeshaichukua Tanzania. Bila Uimara wa Watu kutoka Mkoani Mara katika Idara na Maeneo ’ Nyeti ’ nina uhakika leo hii Tanzania hii ingekuwa ’ ndembe ndembe '.[/FONT]
[FONT=courier new]Ahsante sana Rais JPM.[/FONT]
[FONT=courier new]Nawasilisha.[/FONT]
Hakuna mtu anaelewa, mmeumbuka na zakaria, hupozi kitu mzee, booomuuu
Najiuliza kwa nini jamaa hataki kuutembelea mkoa wa mara tangu awe rais. Mikoa yote ya kanda ya ziwa kafika isipokua huo! Kunani hapo?
Mh!!!hivi kwanini wajinga tz hawaishi…unaweza vip kuandika utumbo ka huo?wewe unafaidi nini kuteuliwa kwao?mbwa koko wewe,UTAPATA TABU SANA KWA UJINGA HUO