How Did Tanzania Manage Kuruka Mavi?

Yes, you’re right. It’s a myth. A BIG BIG scam. China somehow managed to unite with Europe and the US to create one huge mega scandal. Even S.A has seemingly joined the bandwagon. It’s indeed a scam.

Now, feel free to hang out with your folks anywhere with anyone you like. Mix freely, be happy. After all, covid19 is a scam.

Ah. Yes. It’s a scam and braaavo for your brilliant discovery. GoK is losing so much from would-be taxpayers because of a scam they inherited from CNN.

The scam that forces them to borrow much less than they’re losing from unpaid taxes.

Acha makasiriko burarle fwakin

I concur Sani but in a different perspective. Corona is there as a virus but it has largely been blown out of proportion. Plus the despotic government of Kenya is using it to advance the agenda of the tenderpreneurs

Not to mention sidelining WSR. This would not have been possible without the restrictions imposed to “control” the pandemic.

Bora ukose mali kuliko akili hivi kabla ya Corona kuwepo magonjwa haya hayakuwepo?
Nadhani tutumie bongo zetu kufikiria na sio mara zote kukubali upuuzi wa walaghai wa dunia ya kwanza. Corona ni utapeli kama zilivyo tapeli nyingine tunawambia Tanzania hamna corona. Ilianza mwezi wa tatu na zikatolewa tabiri za kila aina kwmba tutakufa maelfu kwa maelfu lakini tunakwenda mwezi wa nane sasa ziko wapi tabiri za wazungu. Wakenya wachache waanza kuamini ila mpuuzi kama wewe badi akili umeiweka mfukoni

Akhsante sana kwa maoni yako mkuu. Mimi nilikuwa mwanakijiji wa kwanza kuwahimiza wakenya wasihofie maradhi ya Korona. Mimi pia ni mtafiti na nina ujuzi mkubwa sana kuhusu haya maradhi na jinsi ya kupambana nayo. Korona ni kama homa nyingine tuu lakini inawaadhiri sana wakongwe na walio na magonjwa mengine kama kisukari.

Sasa nisikize, na uniskize vizuri. Mimi nina shahada nyingi sana na nimefanya kazi nyingi za afya katika inchi tofauti. Mwaka uliopita nilipata nafasi kuhudhiria makao ya kisayansi katika ukumbi wa Julius Nyerere- Daresalaam. Hata nikapata nafsi na kujadiliana na waziri wa wizara ya afya - Tanzania Mwalimu Ummy na katibu mkuu dkt Jingu. ukitaka takwimu nzuri za kujua huu ungonjwa umefika wapi Tanzania basi usiende mbali. Angalia Kenya. Vifo vya korona hapa Kenya ni vichache sana hata havijafika 300 nchi nzima. Na kwa hivyo serikali ya kenya yafaa kulegeza msimamo wake kuhusu haya maradhi. Lakini sikusema ati ugonjwa wa korona haupo. Upo lakini unaadhiri watu wachache sana.

True

If you had diabetes would you still say Corona issa scam?

Tanzania hatuchezi mpira unaodunda kutokea ulaya na marekani. Kwa hili la covid niko na magufuli.

Like Sweden.

The virus likes 1 thing, the elderly and also underlying conditions , and 4 degrees centigrade temp.
Tanzania has a young population that eats simple healthy food but also they are not publishing excess death data. So who knows whats going on.

Did they fail to see the Hazmat suit President Putin put on? Or is he also receiving some of that IMF cash?

We endelea kungojea orona hii kitu ni the biggest scam ever, anyway wash, sanitize and stay at home

There’s no difference between Kenya and Tanzanian response except for level of theft (elites) and hysteria(masses).

:D:D:D:D:D:D:D:D:D.