:D:D:D
Nini hatujakula hapa kenya???
Tunaita komba kwa kichonyi
hii sijaskia:D unless unasema fuko
haha its common talk thats why mbwa huuma tu paka nakutembeza
siku hizi ata ni kama samosa zingine zinawekwa nyama ya watu,vile wengine walipatikana bila mikono…so long as ni mungich anauza all of you will aprove
In Kongowea Mombasa samosa za paka ndio watu huuziwa, ingia YouTube tafuta hio findeo
Hapa hakuna kitu…I’ve eaten porcupine huko home na Ile squirrel kubwa huwa inakula macadamia nuts,white meat by the way .Kitu nkishindwa kula ni Mole,hehee it looks weird hata ikiwa alive
Hii si news.
Nimeachana na mshikaki za tao sasa.
Ulijua aje?
from doggie meat, into pussy aka cat meat…zile vitu watu wa nyairobimnakula…yuck
http://nairobinews.nation.co.ke/news/man-caught-city-selling-samosas-made-cat-meat-identified/
Mnakula pussy like literally
From punda to rats to dogs to cat…kama mende ingekuwa na nyama hata hiyo ingekuwa victim.
Ama huyu ndiye aliponyoka na ile paka ya ule mzungu alikuwa anapeana 10k reward to whoever will find their kanyau. :D:D:D
Soon Kenya will be like China where they can eat anything that moves.
Kabla nebuchadnezzar aanze kukula nyasi
Hii tuliona lini wangwana?
Mangoose